Onyango atimkia Singida fountain gate fc - EDUSPORTSTZ

Latest

Onyango atimkia Singida fountain gate fc

Joash Onyango Singida Fountain Gate FC

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Joash Onyango Singida Fountain Gate FC

Klabu ya Singida Fountain Gate FC imekamilisha usajili wa Beki, Joash Onyango raia wa Kenya kutoka Simba SC.

Onyango mwenye umri wa miaka 30 amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Singida Fountain Gate FC hadi July 2026.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz