Namba sita amewasili - Kamwe - EDUSPORTSTZ

Latest

Namba sita amewasili - Kamwe

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano klabu ya Yanga Ali Kamwe amesema yule mchezaji namba sita anayezungumziwa kwa wiki kadhaa, tayari amewasili nchini


Kamwe amesema mchezaji huyo pamoja na wengine watatambulishwa baada ya taratibu za ndani kukamilika


"Mchezaji namba sita tayari amewasili nchini, tunapozungumza wakati huu mchezaji huyo yupo katika mikono salama ya Yanga. Hivyo mashabiki wakae tayari kumpokea mchezaji mkubwa"


"Tumeandaa utaratibu wa utambulisho wake pamoja na wenzake. Tulimtambulisha Nickson Kibabage kwa heshima ya mwaliko tuliopewa na Serikali ya Malawi, lakini upo utaratibu tuliandaa na tutautumia katika kutambulisha wachezaji wetu"


"Tunasubiri kocha wetu mkuu (Miguel Gamondi) awasili, tunatarajia atatua nchini Ijumaa (leo) na baada ya hapo tutatangaza benchi la ufundi"


"Kisha tutaanza kuwatambulisha wachezaji wapya akiwemo namba sita ambaye utambulisho wake tumeufanya kuwa wa mwisho," alisema Kamwe



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz