Nabi aingia kinyang'anyiro cha Kocha Bora Afrika - EDUSPORTSTZ

Latest

Nabi aingia kinyang'anyiro cha Kocha Bora Afrika

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga SC ,Nasreddine Nabi ameorodheshwa na Mtandao wa Foot-African.com kwenye orodha ya Makocha waoanowania Tuzo ya Kocha Bora wa Mwaka wa Afrika.


Msimamo ulivyo mpaka sasa


1. Walid Regragui (Morocco): 36%


2. Aliou Cissé (Sénégal): 29%


3. Abdelhak Benchikha (USM Alger): 21%


4. Nasreddine Nabi (Young Africans): 13%


Nabi akiwa Kocha wa Yanga msimu uliopita alikuwa na mafanikio makubwa akibeba Ngao ya Jamii, Kombe la Azam Sports Federation, Ligi Kuu na kufika Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.


Nabi kwa sasa hana timu baada ya kuachana na Klabu ya Yanga mwishoni mwa msimu uliopita.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz