Miquissone ndani, Sakho nje - EDUSPORTSTZ

Latest

Miquissone ndani, Sakho nje

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Wakati Simba ikiendelea na pre-season nchini Uturuki, winga Pape Ousmane Sakho yuko Senegal akisikilizia hatma yake


Inafahamika Sakho ambaye bado ana mkataba wa mwaka mmoja na Simba, Wawakilishi wake waliwasilisha ombi kwa Simba ili aruhusiwe kuondoka baada ya kupata timu barani Ulaya


Kitendo cha Sakho kutorejea Tanzania kuungana na wenzake ni ishara kuwa msimu ujao hatakuwa sehemu ya kikosi cha Wekundu hao wa Msimbazi


Nafasi ya Sakho inatarajiwa kuchukuliwa na winga Luis Miquissone anayetua Msimbazi kwa mkopo wa msimu mzima akitokea Al Ahly


Simba inaweza kumsajili Miquissone moja kwa moja pale mkataba wake wa mkopo utakapomalizika


Sakho hakuwa na nafasi kwenye kikosi cha Kocha Robertinho Oliveira. Wasimamizi wake wamelazimisha mchezaji wao aondoke akajiunge na timu ambayo itamuhakikishia nafasi ya kucheza



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz