Mgunda ala shavu jipya Simba SC - EDUSPORTSTZ

Latest

Mgunda ala shavu jipya Simba SC

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Uongozi wa klabu ya Simba umemtangaza kocha Juma Mgunda kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa timu za vijana na pia ataingia katika timu zote za Simba kama mshauri.


Uongozi wa klabu ya Simba umemtangaza kocha Juma Mgunda kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa timu za vijana na pia ataingia katika timu zote za Simba kama mshauri. Akitoa taarifa hiyo Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Imani Kajula amesema Kocha Mgunda ana uzoefu mkubwa atatumika katika timu za vijana,timu ya wanawake na hata timu ya kubwa ya Simba SC.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz