Mgosi, Mgunda mtegoni Simba SC - EDUSPORTSTZ

Latest

Mgosi, Mgunda mtegoni Simba SC

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Simba ipo sokoni kutafuta kocha mpya wa timu ya wanawake (Simba Queens), baada ya kuachana na Charles Lukalu huku Juma Mgunda na Mussa Mgosi wakiingia mtengoni.


Mgunda ambaye ni kocha msaidizi wa timu ya wanaume na Mgosi anayenoa timu za vijana wamepewa ofa ya kuinoa Simba Queens lakini inaonekana wote hawapo tayari kwa jukumu hilo na mazungumzo baina na uongozi yanaendelea.


Mgunda hajasafiri na Timu ya Wanaume ya Simba iliyokwenda kuweka Kambi nchini Uturuki.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz