Matokeo ya mechi ya kirafiki Zira Fc vs Simba Leo July 23 - EDUSPORTSTZ

Latest

Matokeo ya mechi ya kirafiki Zira Fc vs Simba Leo July 23

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Mchezo wa kwanza wa kirafiki katika pre-season ya Simba huko Uturuki dhidi ya Zira Fc, umemalizika kwa matokeo ya sare ya bao 1-1


Simba ilikuwa ya kwanza kufunga bao la kuongoza kupitia kwa Kibu Denis aliyemalizia pasi murua ya Saido Ntibazonkiza


Bao la Zira Fc inayoshiriki ligi kuu ya Azerbaijan, lilifungwa na Rustam Ahmadzade


Katika mchezo huo Simba ilianza na Ali Salim, Shomari Kapombe, Mohammed Hussein, Hennock Inonga, Che Malone, Mzamiru Yassin, Kibu Denis, Sadio Kanoute, Moses Phiri, Saido Ntibazonkiza na Willy Onana


Katika kipindi cha Aubin Kramo aliingia kuchukua nafasi ya Phiri, Clatous Chama akaingia nafasi ya Onana, Bocco akaingia kuchukua nafasi ya Kramo aliyepata majeraha, Fabrice Ngoma akaingia nafasi ya Sadio Kanoute na Isarael Mwenda akaingia nafasi ya Kibu Denis


Huu ni mchezo wa kwanza wa kujipima kwa Simba baada ya wiki mbili za mazoezi huko Uturuki



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz