Kaze aibukia Namungo Fc - EDUSPORTSTZ

Latest

Kaze aibukia Namungo Fc

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Klabu ya Namungo Fc imemtangaza Cedric Kaze kuwa kocha mkuu wa timu hiyo


Kaze aliitumikia Yanga kwa vipindi viwili tofauti akiwa kocha mkuu na baadae kuwa kocha msaidizi katika kikosi cha Nasreddine Nabi kilichoshinda mataji sita katika misimu miwili iliyopita


Mkataba wake na Yanga ulimalizika mwishoni mwa msimu uliopita



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz