Kamwe: Kesho kuna bonge la 'sapraizi' kwa Mkapa - EDUSPORTSTZ

Latest

Kamwe: Kesho kuna bonge la 'sapraizi' kwa Mkapa

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Ofisa Habari wa Yanga Sc, Ally Kamwe amewataka Wananchi kufika kwa Wingi Uwnaja wa Benjamin Mkapa Kesho kwani kuna ‘Sapraizi kubwa’ Yanga watafanya.


Kamwe amesema hayo leo wakati akihojiwa na WASAFI FM kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini kwenye Siku ya Mwananchi.


"Kesho tuna mambo makubwa matatu, la kwanza ni kuhakikisha mashabiki, wananchama wa Yanga na Watanzania wote watakaokuja Benjamin mkapa watakuja ku enjoy mchezo mzuri wa kaizer Chiefs na Ynaga.


"Uzuri wa Kaizer wamekuja kamili, wamesema hawajaja kutalii, wamekuja kuhakikisha wanapambana na Yanga kupima kikosi chao kwa ajili ya msimu unaokuja. Na sisi itakuwa sehemu sahihi ya kupima wachezaji wetu ambao tumewasajili kwa ajili ya msimu ujao.


"Kutakuwa na mechi ya viongozi wa Yanga na wasanii wa Bongo Fleva na Bongo Movies. Pia, kutakuwa na utambulisho maalum kwa wachezaji wetu tutakaokuwa nao msimu ujao.


"Watu wanauliza nani atatambulisha wachezaji hawa? Hii tuiache kama sapraizi, kesho wataalam waliokabidhiwa kazi hiyo. Mtu ambaye tutampa jukumu la kutambulisha hawa wachezaji ni mwamba kwelikweli, lazima awe fundi kuhakikisha wananchi wana burudika," amesema Kamwe.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz