Kagera Sugar kujipima na Vipers Fc - EDUSPORTSTZ

Latest

Kagera Sugar kujipima na Vipers Fc

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Yakiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa mashindano 2023/24, Vipers SC itamenyana na Kagera Sugar FC ya Ligi Kuu Tanzania Bara katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa.


The Venoms, watakuwa wenyeji wa wageni wao wanaosafiri katika Uwanja wa St Mary’s, Kitende siku ya Jumanne, bila mashabiki


Huu utakuwa mchezo wa kwanza wa kujipima nguvu kwa Kagera Sugar yakiwa ni maandalizi ya msimu mpya baada ya kufanya usajili wa nyota wengi wapya


Kwa Vipers Fc utakuwa mchezo wa kwanza wa kirafiki dhidi ya timu kutoka nje ya Uganda


Vipers Fc ndio mabingwa wa Uganda na watashiriki michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz