Juventus wafungiwa kushiriki UEFA - EDUSPORTSTZ

Latest

Juventus wafungiwa kushiriki UEFA

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Chama cha Soka Barani Ulaya UEFA wameifungia Klabu ya Juventus ya nchini Italia kushiriki Mashindano ya UEFA msimu ujao na faini ya €10m kwa kesi ya matumizi mabaya ya Pesa (FFP)


Chama cha Soka Barani Ulaya UEFA wameifungia Klabu ya Juventus ya nchini Italia kushiriki Mashindano ya UEFA msimu ujao na faini ya €10m kwa kesi ya matumizi mabaya ya Pesa (FFP) Juventus ambayo ilimaliza nafasi ya saba na kutupwa UEFA Conference League sasa haitashiriki kwa msimu ujao.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz