Hii hapa tarehe ya kuanza Ligi zote kubwa Ulaya - EDUSPORTSTZ

Latest

Hii hapa tarehe ya kuanza Ligi zote kubwa Ulaya

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Tarehe rasmi ambazo Ligi Kubwa Barani Ulaya zinatarajia kuanza ziemwekwa hadharani na vyama vya soka vya nchi husika.


Tanzaniaweb tunakuletea orodha kamili ya siku Ligi hizo zitakapofunguliwa kuanza kwa msimu wa 2023/24.


EPL: Agosti 11 - kuanza kwa Premier League


La Liga: Agosti 11 - kuanza kwa La Liga


Ligue 1: Agosti 11 - kuanza kwa Ligue 1


Bundasliga: Agosti 18 - kuanza kwa Bundesliga


Seie A: Agosti 19 - kuanza kwa Serie A


31 Agosti - Kufanyika kwa Droo ya UEFA Champions League


19 Septemba- Kuanza kwa UEFA Champions League



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz