Fifa watangaza Sheria Mpya katika mpira - EDUSPORTSTZ

Latest

Fifa watangaza Sheria Mpya katika mpira

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

RASMI: Shirikisho la soka Duniani (FIFA) limetangaza kuidhinisha matumizi ya sheria mpya ya kuotea ambapo kwa sasa ili mchezaji ahesabike kuwa ameotea lazima mwili wake wote uwe mbele ya mchezaji wa timu pinzani badala ya sehemu ya mwili wake tu kama ilivyo awali.


Sheria hiyo mpya inatafanyiwa majaribio Nchini Sweden, Uholanzi na Italia kwa baadhi ya mechi.


Awali ikiwa mchezaji yupo mbele ya mchezaji wa timu pinzani hata kwa inchi moja alihesabika kuotea lakini kwenye sheria hii mpya lazima mwili wote uwe mbele.


NB: Kwa sheria hii mpya mchezaji anayeonekana pichani hayupo kwenye mazingira ya kuotea.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz