As Vita yapokea kichapo kutoka kwa Namungo Fc mechi ya Kirafiki - EDUSPORTSTZ

Latest

As Vita yapokea kichapo kutoka kwa Namungo Fc mechi ya Kirafiki

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Klabu ya AS Vita kutoka DR Congo imeweka kambi Tanzania kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa mashindano 2023/24


Jana AS Vita walicheza mechi ya kujipima nguvu dhidi ya Namungo Fc na kukubali kipigo cha bao 1-0


Bao pekee la Namungo Fc lilifungwa na Frank Domayo 'Chumvi', mchezo ukipigwa kwenye uwanja wa Black Rhino Academy, Karatu



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz