Yanick Bangala awashukuru Yanga - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanick Bangala awashukuru Yanga

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Kiungo wa Yanga, Yannick Bangala amesema haondoki katika klabu ya hiyo kwani anahesmu mkataba wake hadi 2024.


Kauli hiyo ya Bangala inakuja ikiwa ni wiki kadhaa baada ya kuhusishwa kutaka kuondoka klabuni hapo.


"Napenda kuwashukuru mashabiki wote wa Yanga SC kwa sababu siku za hivi karibuni mmeniandika sana kuhusiana na mwenendo wangu katika klabu hii"


"Kama mjuavyo nina mkataba na klabu hii (Yanga SC) mpaka 2024. Na nimepanga kuheshimu mkataba wangu na klabu hii nzuri mpaka mwisho kwa 100%"


"Nimejitoa kufikia matarajio ya timu tukiongozwa na benchi jipya la ufundi, kamati ya utendaji na ninyi mashabiki, kwa sababu bila ninyi hatutaweza kufikia matarajio" amesema Yannick Bangala.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz