Yanga yawasili Algeria, wabeba vyakula na wapishi wao kukwepa hujuma - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga yawasili Algeria, wabeba vyakula na wapishi wao kukwepa hujuma

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Ili kuhakikisha wanakwepa hujuma za aina yoyote kutoka kwa wenyeji wao, Yanga imesafiri Algeria ikiwa kamili


Wananchi wameondoka na viroba vya vyakula, maji na wapishi wao ambao huwatumia wakiwa kambini Avic Town


Yanga ilijipanga mapema kwani baada ya mchezo wa kwanza dhidi ya USM Alger uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa, Makamu wa Rais Arafat Haji na Mratibu Hafidh Saleh walitangulia Algeria


Imekuwa rahisi kwa Yanga ilipowasili Algeria haikukumbana na changamoto zozote kutokana na maandalizi yaliyofanyika kabla


Hii ni mechi muhimu kwa Yanga na Tanzania kwa ujumla, Wananchi wamejipanga kwa kila namna ili kuhakikisha wanaibuka na ushindi siku ya Jumamosi na kutwaa taji la CAF CC



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz