Yanga yamshusha Diamond Platnumz Jangwani kutumbuiza leo - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga yamshusha Diamond Platnumz Jangwani kutumbuiza leo

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Yanga ilihitimisha msimu jana kwa kutwaa kombe la Shirikisho la Aza (ASFC) baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Azam Fc katika mchezo wa fainali uliopigwa uwanjwa wa Mkwakwani


Kikosi cha Yanga kinarejea jijini Dar es salaam leo na kutakuwa na Parade ya kusherehekea mataji matatu ambayo Wananchi wameyatwaa msimu huu


Parade itaanzia Karume, kupitia Msimbazi na kuelekea Makao Makuu ya klabu ya Yanga, Jangwani


Hapo Jangwani moto utawaka! kwani kutashushwa burudani kutoka kwa Mwananchi Nasib Abdul maarudfu Diamond Platinumz


Wasanii wengine watakaotoa burudani ni pamoja na Dullah Makabila, Sir J, Mchina Mweusi na Foby



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz