Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
Klabu ya Yanga imetangaza kuachana na mlinzi wa kati Abdallah Shaibu 'Ninja' baada ya mkataba wake kumalizika
Ninja amekuwa sehemu ya kikosi cha Yanga kwa awamu mbili tofauti
Majeraha ya mara kwa mara yamechangia Ninja kutofikia matarajio ya wengi
No comments:
Post a Comment