Yanga wafunguka sakata la kufungiwa usajili - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga wafunguka sakata la kufungiwa usajili

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Baada ya kusambaa kwa taarifa kuwa Yanga SC, wamefungiwa kusajili, Wananchi kupitia kwa Afisa Habari Ali Kamwe wamefunguka.


Taarifa ya Yanga kufungiwa usajili ilisambaa jana kwenye mitandao ya kijamii ambapo barua iliyosemekana ni ya kutoka FIFA, ilieleza kuwa Yanga wamefungiwa usajili tangu Juni 25, 2023 kwa kushindwa kumlipa aliyekuwa kocha wao, Luc Eymael.


Baada ya taarifa hiyo kusambaa kwa kasi na kuzua sintofamu, Ali Kamwe aliibuka na kueleza kuwa suala hilo halina ukweli wowote.


“Yanga Hatujafungiwa kusajili, wanatuzushia hizi habari ili kutuvuruga. Ni kweli tunadaiwa na Kocha lakini tunaendelea kumlipa kama tulivyotakiwa kufanya kisheria,” Ali Kamwe.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz