TETESI ZA USAJILI: Di Maria kiulaini kutua Ureno - EDUSPORTSTZ

Latest

TETESI ZA USAJILI: Di Maria kiulaini kutua Ureno

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Inter Milan wamekataa ofa ya euro million €15 kutoka Al Nassr ya Saudi Arabia kwa ajili ya kiungo Marcelo Brozovic.


Chanzo: [Sky Italia]


Juventus wamekubali kutoa ada ya euro million €6 kwa ajili ya kumsajili Arkadiusz Milik kwa mkataba wa kudumu kutoka Olympique Marseille.


Chanzo: [Sky Italia]


Benfica wamefikia makubaliano ya kumsajili tena winger Angel Di Maria kwa uhamisho wa huru kutoka Juventus.


Chanzo : [Fabrizio Romano]


Harry Kane anataka kujiunga na klabu ya Manchester United katika dirisha hili la majira ya kiangazi.


Mshambuliaji huyo anatumaini Tottenham Hotspur watakubali ofa ya pound million £80.


Chanzo : [Daily Mail]


Manchester City wako karibu kufikia makubaliano ya kibinafsi na beki wa kati Josko Gvardiol.


Bado wakobali na bei ya kuuza ya RB Leipzig ambao wanataraa kumbakiza beki huyo.


Chanzo : [Fabrizio Romano]


Fulham wameweka bei ya pound million £90 kwa timu ambayo inahitaji João Palhinha, wakati ambapo klabu ya West Ham United wanalenga kumsajili ili kuchukua nafasi ya Declan Rice.


Chanzo : [Daily Mail Sport]


Kyle Walker yupo katika mazungumzo juu ya mkataba mpya Manchester City, licha ya kocha Thomas Tuchel kumwihitaji pale Bayern Munich.


Chanzo : [MailSport]


Newcastle United wametoa ofa ya euro million €50 kwa kiungo wa klabu ya AC Milan Sandro Tonality.


Chelsea pia wanavutiwa na kiungo huyo wa kimataifa wa Italia.


Chanzo : [The Athletic FC]


Klabu ya Bournemouth ipo katika nafasi zuri ya kumsajili Justin Kluivert kutoka AS Roma kwa ada ya pound million £9.5m plus nyongeza ya £850k.


Chanzo : [Fabrizio Romano]



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz