Taarifa mpya kutoka Yanga Asubuhi hii - EDUSPORTSTZ

Latest

Taarifa mpya kutoka Yanga Asubuhi hii

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Jezi za klabu ya Yanga kwa ajili ya msimu wa 2023/24 tayari ziko nchini, kinachosubiriwa ni uzinduzi tu


Afisa Habari wa Yanga Ali Kamwe amesema kesho Jumamosi katika Mkutano Mkuu wa Wanachama watatoa taarifa rasmi kuhusu uzinduzi wa jezi hizo


"Ni kweli tayari jezi za msimu ujao zipo, Jumamosi kwneye Mkutano Mkuu tutatangaza siku ya uzinduzi na utaratibu wa upatikanaji wa jezi hizo," alisema Kamwe


Mbunifu wa jezi za Yanga Sheria Ngowi ametamba kuwa jezi za msimu ujao ni bora zaidi na zitatikisa sio Tanzania tu, Aftika na hata duniani


Jezi za msimu uliomalizika zilikuwa miongoni jezi tano bora za klabu barani Afrika



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz