Taarifa mpya kutoka simba ni kuhusu jambo hili - EDUSPORTSTZ

Latest

Taarifa mpya kutoka simba ni kuhusu jambo hili



 Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Uongozi wa klabu ya Simba umewataarifu mashabiki na Wanachama juu ya ujio wa kadi za mashabiki


Simba imeingia kwenye ushirikiano na Mabenki makubwa nchini Tanzania kwa ajili ya kuwapa mashabiki wake kadi za mashabiki, akaunti maalum ya Simba pamoja na Bima za maisha


Akizungumza mapema leo Mtendaji Mkuu wa Simba Imani Kajula amesema kuwa huduma hizi zitatolewa na Mabenki yote


Simba itaendelea kutoa taarifa zaidi juu ya utaratibu wa mchakato huo


Ni zaidi ya miaka mitatu imepita tangu utaratibu wa kadi za Simba kupitia Equity Bank ulipoanzishwa lakini mchakato huo haukuwa na mwendelezo



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz