Staa wa Al Merreikh apigwa risasi - EDUSPORTSTZ

Latest

Staa wa Al Merreikh apigwa risasi

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Nyota wa Al Merreikh ya Sudan,Ahmed Abdelsalam amekutwa amefariki baada ya kupigwa na risasi nyumbani kwake huko Sudan.


Nyota wa Al Merreikh ya Sudan,Ahmed Abdelsalam amekutwa amefariki baada ya kupigwa na risasi nyumbani kwake huko Sudan. Taifa la Sudan limekumbwa na machafuko ya kisiasa kwa muda sasa jambo ambalo limepelekea shughuli mbalimbali kusimama nchini humo.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz