Simba yampa mkono wa kwaheri Nelson Okwa - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba yampa mkono wa kwaheri Nelson Okwa

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya kuvunja mkataba wa kiungo mshambuliaji Nelson Okwa


Taarifa iliyotolewa na Simba imebainisha kuwa makubaliano ya pande mbili yamefikiwa na kiungo huyo raia wa Nigeria


Okwa aliitumikia Simba kwa miezi sita tu kabla ya kutolewa kwa mkopo kwenda klabu ya Ihefu Fc


Hata hivyo sio miongoni mwa wachezaji waliopendekezwa na kocha Robertinho Oliveira kuitumia Simba msimu ujao


Anakuwa mchezaji wa nne kuachwa na Simba baada ya Augustine Okrah, Victor Akpan na Mohammed Ouattara



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz