Pitso alamba dili Falme za Kiarabu - EDUSPORTSTZ

Latest

Pitso alamba dili Falme za Kiarabu


 Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


Klabu ya Al Wahda inayoshiriki Ligi Kuu ya United Arab Emirates (UAE) imemtangaza Pitso Mosimane (58) kuwa Kocha Mkuu.


Hatua hiyo inakuja siku chache tangu Pitso atangaze kuachana na waajiri wake Al Ahli, ya Saudi Arabia ambayo alijiunga nayo Septemba 2022 na kufanikiwa kuwapandisha Ligi Kuu ya Saudi Arabia.


Taarifa hizo za utambulisho wa Pitso zinazima tetesi za Kocha huyo wa Vikombe barani Afrika kutua Yanga ambao siku chache zilizopita walitangaza kuachana na Kocha wao Nasreddine Nabi.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz