Nickson Kibabage aingia kwenye rada za Yanga - EDUSPORTSTZ

Latest

Nickson Kibabage aingia kwenye rada za Yanga

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Klabu ya Yanga inamuwania mlinzi wa kushoto Nickson Kibabage kutoka Singida Fountain Gate


Kibabage anayemudu kucheza nafasi ya ulinzi wa kushoto na winga, huenda akaongezwa katika kikosi cha kocha Miguel Gamondi kuelekea msimu ujao


Katika msimu uliopita Kibabage alikuwa miongoni mwa wachezaji waliong'ara Singida BS akipachika mabao manne


Ujio wake huenda ukaweka matatani hatma ya mlinzi wa kushoto David Bryson ambaye mkataba wake umemalizika


Dickson Job, Kibwana Shomari na Kibabage wote walipita katika timu ya vijana ya Stars U17, Serengeti Boys na kushiriki fainali za Afcon 2017 zilizofanyika Gabon


Kibabage pia amewahi kuitumikia Difaa El Jadida ya Morocco akiwa pamoja Simon Msuva



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz