Kocha Nabi aachana rasmi na Yanga - EDUSPORTSTZ

Latest

Kocha Nabi aachana rasmi na Yanga

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Klabu ya Yanga imethibitisha rasmi kuachana na kocha mkuu wa timu hiyo Nasreddine Nabi


Kocha huyo aliyeitumikia Yanga SC kwa mafanikio makubwa ameondoka baada ya kumaliza mkataba ndani ya klabu hiyo na kushindwa kufikia makubaliano mapya


Nabi ameshinda mataji mawili ya ligi kuu mataji mengine ya ASFC na mataji mawili ya ngao ya jamii pamoja na kuifikisha klabu hiyo fainali ya michuano ya kombe la shirikisho Afrika kwa mara ya kwanza katika historia yake.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz