Chivaviro ndani ya Uzi wa Yanga, anasubiri kutambulishwa tu - EDUSPORTSTZ

Latest

Chivaviro ndani ya Uzi wa Yanga, anasubiri kutambulishwa tu

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Jana mshambuliaji wa Marumo Gallants Ranga Chivaviro kupitia 'Insta Live' aliwapa furaha Wananchi baada ya kujirekodi 'mbashara' akiwa amevaa jezi ya Yanga huku pia eneo alipo likionekana ni Tanzania


Chivaviro aliyemaliza nafasi ya pili katika orodha ya wafungaji bora kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF CC) akifunga mabao sita nyuma na kinara Fiston Mayele aliyemaliza na mabao saba, anaweza kuwa mchezaji wa Yanga msimu ujao


Ni ahadi ya Rais wa Yanga aliyoitia wakati yuko Afrika Kusini kuwa msimu huu atashusha mchezaji mmoja kutoka ligi kuu ya Afrika Kusini


Chivaviro alishika nafasi ya tatu katika orodha ya wafungaji bora Ligi Kuu ya Afrika Kusini msimu uliomalizika alifunga mabao 10 na assist mbili


Peter Shalulile wa Mamelodi Sundowns na Khanyisa Mayo wa Cape Town City walimaliza wafungaji bora kila mmoja akifunga mabao 12



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz