Chama, Bwalya Wana jambo lao Leo - EDUSPORTSTZ

Latest

Chama, Bwalya Wana jambo lao Leo

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Wakati huu ambao ligi zimemalizika wachezaji wako mapumziko. Hapa Tanzania tumeona wachezaji wakiandaa mechi mbalimbali za hisani kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia jamii zao


Mechi kama hiyo itapigwa huko Zambia leo ikiandaliwa na kiungo wa Simba Clatous Chama na kiungo wa Amazulu Rally Bwalya


Kabla ya kutimkia Afrika Kusini Rally aliitumikia Simba kwa misimu mitatu, kikosi chake kitachuana na kikosi cha Chama


Huu ni utaratibu mzuri kwa wachezaji kurejesha katika jamii zao na kutatua baadhi ya matatizo



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz