BREANKING NEWS: Fei Toto atambulishwa Azam Fc - EDUSPORTSTZ

Latest

BREANKING NEWS: Fei Toto atambulishwa Azam Fc

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Aliyekuwa Kiungo wa Yanga na Timu ya Taifa, Feisal Salum "Fei Toto" ametambulishwa katika Klabu ya Azam FC yenye maskani yake Chamazi Jijini Dar es Salaam.


Feisal ameuzwa na Klabu ya Yanga baada ya kuwa na mvutano na Klabu ya Yanga kwa Takribani miezi sita akitaka kuvunja Mkataba.


Hatua hiyo inakuja baada ya kauli ya Rais Samia aliewataka Yanga kukaa na Mchezaji huyo na kumaliza Tofauti zao.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz