Baada ya Dili la kaizer chief kubuma Nabi Sasa kutimkia timu hii - EDUSPORTSTZ

Latest

Baada ya Dili la kaizer chief kubuma Nabi Sasa kutimkia timu hii

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Aliyekuwa Kocha wa Young Africans SC, Nasreddine Nabi anahusishwa kujiunga na Mabingwa wapya wa Ligi Kuu Morocco, klabu ya FAR Rabat kama kocha mkuu kuelekea msimu ujao wa 2023/24.


Dili la Nabi la kuwa kocha mkuu wa Klabu ya Kaizer Chiefs limeota mbawa baada ya miamba hiyo ya Afrika Kusini kumtangaza Molefi Ntseki kama kocha mkuu klabuni hapo kufuatia kushindwa kuafikiana na mshindi huyo wa ‘domestic treble’.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz