Azam FC kuweka kambi Tunisia - EDUSPORTSTZ

Latest

Azam FC kuweka kambi Tunisia

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Matajiri wa Jiji Azam FC wanajiandaa kwenda kupiga kambi, Tunisia kujiandaa na msimu mpya 2023/24.


Matajiri wa Jiji Azam FC wanajiandaa kwenda kupiga kambi, Tunisia kujiandaa na msimu mpya 2023/24. Safari yao itakuwa kati ya Julai 7 na 10 huku ikiwa tayari wamemalizana na mastaa wawili wa kigeni kutoka Senegal ambao amewapendekeza kocha wao, Youssouph Dabo na watawatangaza mapema mwezi ujao.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz