Ofa ya Bando la Internet wiki BURE Bonyeza HAPA
Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
Kituo maarufu Duniani cha TV cha France CANAL SPORTS+ kimetangaza kuwa kitauonesha mchezo wa nusu fainali CAFCC, Yanga dhidi ya Marumo Gallants.
Mechi ya kwanza itachezwa saa 10:00 jioni katika Dimba la Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam Jumatano Mei 10, 2023. Mechi ya pili itachezwa saa 1 Jioni Nchini Afrika, Mei 17.
Kikosi cha Marumo Gallants tayari kimeshawasili leo alfajiri baada ya kukwama kuwasili jana kutokana na changamoto za usafiri.
Post a Comment