Taarifa mpya kutoka simba leo Jumapili May 28 - EDUSPORTSTZ

Latest

Taarifa mpya kutoka simba leo Jumapili May 28


 Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Klabu ya Simba imetoa taarifa ya mlinda lango Aishi Manula kusafiri Afrika Kusini kwa ajili ya matibabu


Manula aliumia kwenye mchezo wa robo fainali kombe la Shirikisho la Azam dhidi ya Ihefu Fc


Manula ameongozana na daktari wa Simba Edwin Kagabo ambaye amebainisha kuwa matibabu yatafanyika jiji la Johanesburg


Manula atafanyiwa upasuaji ambapo muda ambao atakaa nje utategemea na upasuaji huo


Lakini ni wazi Manula anaweza kuwa nje kwa muda mrefu, Simba huenda ikalazimika kusajili mlinda lango mwingine wa kumuongezea nguvu Ali Salim wakati Manula akiendelea na matibabu



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz