Sakho, Banda watarudi vizuri msimu ujao-Ahmed - EDUSPORTSTZ

Latest

Sakho, Banda watarudi vizuri msimu ujao-Ahmed

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Afisa Habari wa Simba SC, Ahmed Ally ameandika kwenye ukurasa wa Instagram ujumbe mzito kuhusu wachezaji makinda, Pape Sakho na Peter Banda.


Ahmed ameweka picha ya wawili hao na kuandika hivi:


Kuna wakati msimu uliopita Combination ya Sakho na Banda ilikubali sana, tukaaamini msimu huu wangefanya balaaa kubwaa lakini bahati mbaya haikua hivyo


Zipo sababu nyingi zilizopolekea makali yao kupungua lakini kubwa kabisa ni majeruhi ya wawili hao


Sakho aliumia na kukaa nje kwa muda mrefu na Banda aliumia na kukaa nje kwa zaidi ya miezi miwili


Tunaenda kuanza msimu mpya, Msimu wa tatu kwa Peter Banda na msimu wa tatu kwa Pape Sakho


Huu ndo msimu wa kula matunda ya vipaji kutoka Afrika ni muda wa Wonder Kids kuthibitisha ubora


Mungu awalinde vijana wetu dhidi ya Majeruhi.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz