Kwenye Big Sunday Live ya Wasafi Tv, @adamchomvu amedai hafurahii kitendo cha kumpiga mtama,Emmanuel Mbasha ila ilibidi iwe vile.
Mchomvu anadai kauli ya kuambiwa ni nanii (bangi) ilimfanya ajam sana maana imemuathiri hadi leo,sababu Mbasha hajui namna gani ameharibu taswira yake kwa watu wengine waamini alichokiongea jambo ambalo si sahihi na ukizingatia yeye alitumia lugha nzuri tu kwake.
Download our blog’s APP from Google Playstore using the link here>>>
Mchomvu amedai kama hasingemshushia lile tama kwa hasira alizokuwa nazo ingemuathiri na angeshindwa hata kuongea kwenye Mic,so lile tukio lilipunguza hasira zake kwa yule jamaa.
Post a Comment