Kuna maadui weeeengi wametuzunguka ndani ya ndoa zetu na kama hatukupambana nao hatuwezi kua na utulivu Wa nafsi hata siku moja.
Leo naomba tumuangalie adui namba moja anaitwa
"DHARAU"
*Dharau* na kutokujali ni maadui pacha wanaofuatana,hakuna binadamu anaependa kudharauliwa hata aweje,kila mmoja anahitaji kuona cheo chake kwa mwenzake.
*Dharau* ni donda sugu linaloondosha uhai Wa ndoa zetu kila kukicha.







Hizo ndio *dharau* na kuonesha dharau hata kwa wazazi na ndugu Wa mwenzako.
Tujaribu kuwafukuza kwenye nyumba zetu maadui hawa *DHARAU* na *KUTOKUJALI* na badala yake tuwakaribishe *KUJALI* na *KUBEMBELEZA*
Hebu anza kumuonesha mwenzako kua unamjali na unajali hisia zake, anapoongea nawe acha yote mskize kwa umakini hata kama hufurahii analosema ,mshauri kwa lugha ya upole ,muoneshe upendo na tabasamu mda wote, akikosea mfahamishe kistaarabu hakuna mkamilifu hata wewe pia unamkosea.
Post a Comment