*MWANAMKE USAFI BIBIEEE ! KUANZIA JUU MPAKA HUKO CHINI KWENYE K*💋💋 - EDUSPORTSTZ

Latest

*MWANAMKE USAFI BIBIEEE ! KUANZIA JUU MPAKA HUKO CHINI KWENYE K*💋💋

Image result for JINSI YA KUMNYONYA MATI-TI MWANAMKE

Assalam Alaykum
Habari zenu......🌹

_Kuna maeneo mwanamke katika mwili wako yanatakiwa yawe safi mda wote👌upo nyonyo👌_
💋💋
Mda mwengine una mlaumu mumeo hatak kukupa haki ya ndoa sababu uchafu wako upo nyonyoo!!!👌
Mwanamme kila akikurabia watoa harufi mbovu unafkiri hatokukimbia??
Mwanamke jichunguze, halafu ujipangeee!!
💋💋
_*🍒Leo ntazungumzia maeneo ambayo mwanamke unatakiwa uwe makini sana kama unaipenda ndoa yako🍒*_
**MSTARI WA IKWETA**
💓 (Mstari uliogawa matako yako mawili)
Ni sehem ambayo huwa kunakaa uchafu ambao unatoa harufu mbaya km hutakuwa unajisafisha.
Unatakiwa upasugue kila unapotawaza baada ya kumaliza haja ndogo au kubwa na unapooga , jisafishe barabara kwa maji safi na sabuni hata siku ambazo unafanya singo ya karafuu ni vizur kufanyia usafi.
Huko kwenye mstari pembeni kuna vinywele uko....usipovinyoa utanuka vundo ka nguru mbovu nakwambia...nyoq vuzi la matako lote👌
Usilalamike mume hakunyonyi nyonyo harufuuu oooh😂
👌👌CHINI YA MAZIWA👌👌
Chini ya maziwa huwa kuna uchafu fulani unakaa pale hususan kwa wanawake wenye matiti makubwa au yaliyolala.
Jitahid unapooga kuyainua na kuyafanyia sasambu kwa kuyasafisha na kutoa mapofu yote yaliganda.👌
KITOVU💋
Ni kiungo kidogo lakin kinatoa harufu na kufanya taka nyeusi ikiwa hakitasafishwa vizuri
Ukioga toa maji kwenye kitovu usiache yakakaukia hapo utanuka shoga.....👌
Ukishaoga jitie haloud safii mtoro sharti unukie💋
🔆KWAPA🔆
Mwanamke mazingira bibi sio kunuka kikwapaa!!👌
Kwapa ni sehem nyengine ambayo inaleta maudhi ikiwa haitasafishwa na kushughulikiwa. Ikiwa una unaja jasho kali tumia ndimu au shabu kwa ajili ya kukata harufu.
Jisafishe kwa kuondoa nywele zilokuwepo kwapani , pia tumia colgate na baking soda na ndimu kufanya kwapa yako iwe nyeupe mtoto 👌 sharti bwana anaila kwapa jinsi inavyong'aa
👌Tumia deodorant kuondoa harufu mbaya usipulizie perfume wala spray kwapani , tia haliud ili unukie vizur uwapo na D wakoo
💕KINYWAA💕
Kinywa ni sehem nyengine ya mwil wa binaadam ambacho kinahitaji usafi any time.
Sio bwana anarud anataka kupiga romance kinywa kinanuka km yai vizaa loooh aibuuu!!💋
Ujue muda wa mumeo kurud kazin ili ujinadhifishe.
Kwan mtume Muhammad sw anasema "Lau ningekuwa siwaonei tabu umma wangu ningewaamrisha kupiga mswak kila kipind cha sala"
Tafuna hiliki au matango kama unatoa harufu mbaya kinywani.....
💘💘
KUM*A ndio kila kitu katika ndoa!!
Ukifel hapo shogaang utabak kuhesab talaka!!👌
KUM*A unahitaji matunzo kwanza kujisafisha kabla hujaingiza kidole hakikisha umenawa kwa sabuni na sehemu unayochutama hakikisha ipo safi......👌
Kama unafuga mikucha ka zimwi utajitia maradhi ya uchi...kata kucha tia kidole kwa juu juu kiasi usizamishe choote kisha nawa vizuri wala usitumie sabuni za chemical.......
Nyoq vizuri uhakikishe hutoi mapele uko...tulifahamishana jinsi ya kunyoa...
Jikaushe vizuri visibaki vimaji uko kisha vaa kikuba chako mtoto👌
MASIKIO
Safisha maskio yako nje na ndani kila mara ! kwa kutumia cotton
Sio bwana anataka kutia ulimi anakuta tende imegandaa looh mhh poohh😰
Nyuma ya skio jipake haloud sharti unukie mtoto👌
🍓MIGUU🍓
Miguu pia inasafishwa jamani kwa kusugua vizur na kutoa takataka zilizoganda katika kuchaaa👌💋
Miguu misagi bwana anairamba ati💋💋💋👅💋
Tumia kiru maalum kwa kusugua miguu ucje ukampara mwenzio ukamtoa dam kwa kea zako!👌
Paka glycerin au vifuta vya olive vichanganye na limao....aaaah mguu laini kama wa mtoto mchanga...kurambwa nyayo raha ati💋👅👌
Asante🌹




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz