JIFUNZE KUACHILIA VITU AU WATU WAENDE ILI UANZE KUPATA AMANI YA MOYO NA UACHE KUUMIA. - EDUSPORTSTZ

Latest

JIFUNZE KUACHILIA VITU AU WATU WAENDE ILI UANZE KUPATA AMANI YA MOYO NA UACHE KUUMIA.

*Wakati mwingine kuachilia vitu viende kunasaidia kuliko kuvishikilia Wakati mwingine ni kheri kuwaachilia watu waende kuliko kuwashikilia na kuendelea kuumia*
*Tunaishi katika nyakati za hatari ambazo kama hatutaachilia baadhi ya vitu na kuviruhusu viende tunaweza kujikuta kwenye mazingira magumu na maumivu makubwa.*
Achilia waliokuumiza
Achilia waliokudhulumu
Achilia waliokusaliti
Achilia wanaoendelea kukutukana
Achilia uliowainua na sasa wamegeuka kutaka kukuangusha.
Achilia uliowasaidia na sasa wanatumia msaada huo kukuharibia.
Achilia waliokukimbia wakati ulikua ukiwahitaji.
Achilia wanaokuchafua bila sababu.
Achilia uchungu
Achilia hasira
Achilia wivu
Achilia huzuni na majonzi
Achilia kuwachafulia wengine.
Achilia kuchonganisha wengine.
Achilia Achilia Achilia Achilia Achilia
*Hebu jifunze kuachilia vitu viende Ufanye Moyo wako wa kuwaachilia watu wasiotaka kuwa sehemu ya maisha yako waende ili uwe na amani ya kudumu.*
*Kumbuka kuwa wakati mwingine ni kheri kuachilia kamba yenye miiba kuliko kuendelea kuishikilia.*




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz