BAADHI YA MAJINA YA WANAWAKE YANAFANANA NA TABIA ZAO.MHEBU ONA MAJINA HAYA.. - EDUSPORTSTZ

Latest

BAADHI YA MAJINA YA WANAWAKE YANAFANANA NA TABIA ZAO.MHEBU ONA MAJINA HAYA..

▷ @sashakasimu - sasha kasim - Instagram Post

 Utafiti unaonesha kuwa, asilimia kubwa ya wanawake wenye majina yafuatayo hapa chini Inasemekana wengi wao tabia zao ziko hivyo hivyo..... *

Aisha*- wao hawachaguagi kazi na ni wabunufu sana na wengi wao wana mabwana zaidi ya mmoja! 

*Mariam*- kimtazamo ni wapole sana wastaarabu na wengi wao washika dini sana lakini mambo Yao ya sirini yakifunuliwa unaweza usiamini! 

*Fatuma*- wanapenda sana commands, wana hasira za karibu, na wana wivu uliopitiliza ktk mapenzi! 

*Glory*- wanapenda sana pesa, hawapendagi kukosolewa, lakini wapogo active sana ktk mambo ya ibada! 

*Jackline*- wanapenda sana umaridadi, hata kama wanalala njaa kimtazamo huta wajua wala kumzania kabisa, na hupenda wanaume wenye pesa pia hawapendi maisha ya ndoa! 

*Mary*- hulelewa kwenye maadili mema lakini ngoja waanze kujitegemea, wanabadili tabia zao! 

*Elizabeth*- wao wakipenda hawajivungi; huwatambulisha wapenzi wao popote inapowabidi! 

*Salma*- huridhika na hali zao; yaani mioyo Yao hupendezwa tu na chochote kiwe kidogo au kikubwa ilimradi ni chake binafsi!

 *Mwajuma*- wengi wao wana maruwani; na ni wanapenda kutoa ushauri kwa wenzao popote inapowabidi! 

*Sophia*- muda mwingi wapo bize na mambo yasiyo wahusu; wengi wao hufanya kazi saloon, wabishi sana, hawanaga mapenzi ya kudumu, hujiita wazuri/warembo wakati hawana uzuri wowote huamini dini yao ni bora kuliko ya mwingine na hu-pretend kama vile wacha MUNGU sana lakini matendo Yao yanakataa! 

*Rachel*- waongo kupitiliza; wanapenda kuanika mambo Yao hata kabla hawajaulizwa, hujiona wapo sahihi kwa kila jambo, hujiona wao ndio wao na wengi wao hawapendagi kuonekana wakubwa yaani ukimuuliza umri wake lazima ashushe miaka kadhaa nyuma! 

*Khadija*- wanapenda sana kusutana; jambo dogo tu huwapelekea bifu kubwa inayopelekea kuchambanaaaa! 

*Lucy*- wana bahati lakini maringo Yao huwaponza kupoteza bahati zao! 

*Happy*- hutoka ktk family za kimaskini sana; huchangamkia kila fulsa sababu inayopelekea kufanikiwa kimaisha na kubadili historia za maisha yao, ila wana nidhamu za woga na kiburi kupindukia! 

*Emilia/Emmy*- wepesi Sana kusikiliza maneno ya watu; hawanaga msimamo ktk mambo Yao! 

*Maurini*- wao kila kitu hufanya kwa kujaribu jaribu tu, hupenda kuiga mambo yasiyo na faida kwao! 

*Ester*- wengi wao hulelewa na watu baki; ni wapole, wacha MUNGU na huamini kufanya tendo la ndoa kabla au nje ya ndoa ni dhambi lakini hawaachi kufanya na wengine hadi kuzaa kabla ya ndoa! 

*Neema*- huitwa neema wakiwa wadogo wakifikia rika fulani wanabadili majina Yao sometimes hata dini nk; *Amina*- hubeba mimba ktk umri mdogo; hawamalizi shule 

*Agnes*- huzaa kila mtoto na baba yake! 

*Halima*- wanapenda mazuri yote yawe Yao na mabaya yawakute wenzao tu, ukifanikiwa wanajenga bifu ila wana mapenzi ya dhati kwa wenzi wao! 

*Magreth*- wao wakipenda hawaangaliagi hali ya maisha uliyonayo, wanaishi popote ilimradi yupo na yule aliyempenda ni wachapa kazi lakini hawanaga maendeleo mazuri! 

*Rose*- waoga sana, ni wasiri ktk mambo Yao, wengi wao wameshafanya sana kazi za ndani/house girls! uwa hawatulii na Mwanaume mmoja mpaka atakapo olewa 

*Salome*- mapepe sana! Wana maringo na hawapo makini Mara nyingi sana huwa wanaamini ktk Zari la mentari na si malengo au mipango! 

*Beatrice*- wana skendo mbaya sana, hata siku moja hawasifiwi kwa mema kabisa, huchafuliwa sifa zao kwa maneno ya watu, lakini uzuri wake huwa hawajali maneno yanayosemwa juu yao, huishi watakavyo wao na si vinginevyo! 

*Ferister*- husifika kwa kutoka na mabwana wa watu! 

*Jenipha*- wanapenda sana maisha ya shule, Muda mwingi upenda kusoma mpaka elimu ya juu, wana tabia mzuri pia upendwa na watu kutokana na utendaji wao wa kazi, wana bahati ya kupata kazi 

*Eva*- husifika kwa uzuri wa sura lakini ni mapepe sana huzalia nyumbani tena ktk umri mdogo! 


*Aneth*- kupendwa na wanaume wengi, kutokana na ucheshi wao kwa kila mtu! *Christina*- Hupendwa zaidi na Baba zao; ukimchezea huyu baba yake atakufa na wewe! 

*Janeth*- wanapenda kudeka, wanapenda kucheza miziki ya dini! 

*Angel*- money spenders, pesa mbele.. Wazuri wa sura na maumbo, hawapendi kazi ngumu! Wavivu hawapendi kazi inayotumia muda mrefu 

*Vaileth*- wanapenda sana starehe za bure! Wanaenda sana zawadi zawadi 

*Rihanna*- wanapenda mno mambo ya night crab! 

*Johari*- wavivu sana mambo mengi wana fanya kwa kusukumwa sukumwa tu si kwa hiyari yao! *Telesia*- hawana malengo ktk maisha, wao ilimradi siku zinaenda! 

*Isabella*- walevi sana!

 *Joyce*- Wacha Mungu pia Karibu wengi wao ni wagumba na uchelewa kuolewa mara nyingine wanaamua kuolewa na mtu yoyote ili mradi apate mtoto 

*Flora*- wanapenda umaarufu/kujulikana na watu! Wana matumizi mabaya ya fedha, hawana wivu wa maendeleo wenyewe mradi anakula na kulala 

*Monica*- ni wacha MUNGU sana, wana mapenzi ya kweli, wana kisirani cha haraka, wana maamuzi ya haraka, hawajuagi kunyenyekea hata penye maslai! HAYO NI baadhi tu ya majina ya wanawake na tabia



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz