HIVI UNAJUA MSIBA WA MAPENZI...! - EDUSPORTSTZ

Latest

HIVI UNAJUA MSIBA WA MAPENZI...!

Msiba wa mapenzi ni pale unapoongea na simu na mpenzi wako usiku mwingi afu akakuambia kata kuna mtu muhimu anapiga..unauliza ni mama anajibu hapana ..ni baba hapana..unauliza nani sasa anakujibu we kata tu bwana kama hukati mi ntakata! Afu unapiga saa zima iko busy ndio kwanza wanaitafuta saa saba usiku na hujaambiwa ni nani aliyepiga ndugu yangu moyo lazima uanze kucheza makhiri makhiri ndugu yangu kama ulijui bonde la ufa ndio hilo sasa..#kibonde
Counsellor




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz