HIVI UNAJUA $EX NI AGANO. - EDUSPORTSTZ

Latest

HIVI UNAJUA $EX NI AGANO.

kkufanya mapenz-i ni agano...mwanamke akisha tomb*na  na mtu au akawa na mtu aliyetomb*na naye miaka nenda rudi baadaye akaja kuolewa na mtu mwingine mazingira yale yale ya huyo mtu aliyekuwa naye miaka nenda rudi lazima ndoa yake utapandisha bp tu/uwezekano mkubwa wa mwanamke kuendlea ku cheat na huyo mtu utakuwepo/asilimia kubwa ya wanawake walio ndani ya ndoa hasa za vijana wa sasa hivi bado wa date na ma ex wao!!tena kwa umakini wa hali ya juu/tena wanapeana mpk njia za mawasiliano..utasikia yupo usipige, tuchat tu, haya ndio maisha wanayoyaishi wakina dada wengi sana/ni wanawake wachache sana wanaweza kufuta hili agano la mapenzi ila wengi bado wanakimbiza mwenge na ma ex wao huku waume zao hawana habari kabisaa!!na bahat mbaya sana haya mapenzi hayafagi ..mtu anaweza ku date na ex wake hata miaka 30 ya ndoa yake bila kujulikana !!!!hapa ndio utajua kuwa kuna muda tuna muhitaji MUNGU SANA KWENYE HIZI NDOA/kuna muda mwanamke anaweza kuwa na mume aliyekamilika kila idara , kujari, kwenye 18, lakini bado asiweze kutenganisha hisia za mkewe na hisia ex zake...ndio maana siku zote huwa nasema kabla hujaamua kufanya harusi kubwa ya ndoa yako mbele z watu hakikisha umeifunga ndoa yako moyoni kwanza, kiapo cha kufunga kitabu cha yote yaliyopita!!siku hizi ndoa nyingi hazifungwi kwa upendo wengi wanfunga kutimiza torati tu!mwanamke kabla hujamcheat mumeo jua kuwa ni rahisi sana mwa naume kupata mwanamke wa kumuoa lakini ni ngumu sana mwanamke kumpata mwanaume wa kumuoa..ni rahisi sana mwanamke kumvutia mwanaume kingono lakini ni ngumu sana kumvutia mwanaume kukufanya mke!!unajisikiaje unamcheat mumeo siku a akuacha una baki single huyo ex wako uliyekuwa unacheat naye yeye najikunja tu kitandani na mkewe!!na trust me siku atayokuacha mumeo ndio siku hiyo hiyo atayokuacha huyo ex wako...haya mambo ndivyo yanavyoenda ni ngumu sana mchepuko kuendelea kuwa na ww mumeo akikuacha !!ipo siku ntakuambia kwa nn!!ila leo nakukumbusha tu kuwa heshimu ndoa yako!!heshima kubwa ya mwanamke ipo katika kutia kufuri nguo yake ya ndani kutovuliwa na kila mwanaume #kibonde
Counsellor




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz